Dah kwaiyo sikukuu mnataka nile ugali kwel?! Sijapenda kisa simu yangu vibatani vya pembeni vimetoka na camera ya mbere sio nzuri sana Aya nileteeni iyo 75 basi gb16 ram2 network4g finger ipo ipo dar tabata barakuda hapa njoo inbox maongezi yapo na kava lake nakupa
$75,000