Ni nyumba nzuri sana na ni ya kisasa kabisaa inapangishwa kisongo maeneo ya uwanja wa ndege, nyumba ina sifa zifuatazo:- 1 Ni selfu ya chumba sebule choo jiko kubwa ndani 2 Nyumba ina mazingira mazuri, maji yapo, parking ipo 3 Nyumba ni nzuri sana, Mita 3 toka lami wahi sasa 4 Ina sitting na darning kubwa, pia ina master room
TSh250,000