-Ipo katika jengo la zamani (Imara na mathubuti) -Ipo karibu na ukumbi maarufu wa Diamond Jubilee Hall. -Ina Hati Miliki (Title unit) -Ina vyumba vya kulala viwili -Jiko na sebule -Choo na bafu -Ipo katika ghorofa la pili -Jengo halina lift wa genereta. -Kuna maji ya Dawasa -Kuna sehemu ya kuegesha magari -Kuiona kwa Appointment. -inafaa See more
TSh99,000,000