SHAMBA HEKA TANO LINAUZWA NA LINAKIJIMTO KIDOGO WAKATI WA MASIKA MAJI YANAPITA Shamba lipo mzenga mkoa wa pwani wilaya ya kisarawe Shamba hili special Kwa kulima mpunga ,mahindi , mtama na kufuga Shamba linauzwa lote TSH 1,500,000/= Gari inafika Kuja mzenga Kuna njia mbili Unaweza pitia ya kisarawe basi unapandia chanika kigogofresh linapita kisarawe mpaka mzenga town au unazingua unapitia ya mlandizi 0768 710000 0735 712324 Sangamagari hakuna utapeli
$1,500,000