Ni nyumba nzuri sana mpya kabisaa, nyumba ina sifa zifuatazo:- 1 Ni room moja ya kawaida choo nje, parking ipo kubwa 2 Nyumba ni mpya kabisaa, mazingira mazuri sana ndg 3 Nyumba ina Wapangaji wachache, maji umeme upo
TSh40,000