Mil 10. Hii gari niliinunua nikaiendesha mwezi mmoja kisha nikasafiri ikawa ipo sehemu nzuri kavu ndani. Tizama picha utaona ipo store hapo. Kwa sasa nimenunua gari nyingine hiyo naiuza. Siishi TZ njoo utaona passport yangu na utaamini nachokisema. Mimi sio dalali nauza gari yangu mwenyewe.
TSh10