Nauza Banda, lipo uwanja wa ndege karakata dare es salaam, Banda Lina vyumba viwili vyote milango ya nje, na uwanja umebaki wa kujenga vyumba vingine viwili na fenc. Banda Lina umeme linauzwa kwa shilingi milion nne na nusu tu. Ukishuka uwanja wa ndege kwenda kwenye Banda unatembea au pikipiki buku. 0699527514
TSh4,500,000