Tatizo lake ni:- 1.Mishale ya Dushbord haisomi 2.Usukani mgumu kidogo 3.Gear ya drive,inachelewa kidogo kupokea 4.A/C hakuna, ya kurekebisha compresor 5.Redio imeharibika 6.Taa moja ya nyuma na mbele inacreck 7.Rangi ya bamba la nyuma imebabuka kidogo
TSh3,500,000