SHAMBA HEKA NNE LINAUZWA MZENGA ZEGERO WILAYA YA KISARAWE MKOA WA PWANI Unaruhusiwa kulipia Kwa awamu Ukubwa wa Shamba ni heka nne Shamba kama unavyoliona hivyo hivyo lilivyo Shamba linauzwa lote milioni Moja na laki Moja na elfu hamsini zote heka nne(TSH 1,150,000/= Maelezo zaidi 0717 718383
$1,150,000