X_TIG TABLET Ina storage ya 128GB RAM ya 4GB Inauwezo wa kusoma line pamoja na memory card Inauwezo mkubwa wa document processing na presentation Display ni wide screen na very clear Tab bado mpya inakuja na cover lake na charger kwa mawasiliano text, piga, au tsap 0656651960 nipo makumbusho mali ni yangu binafsi na ni halali
TSh450,000