Wakazi wa DODOMA na mikoa yote Kuna huyu tapeli kuweni makini naye ni mwizi na tapeli wa mtandaoni kuweni makini sana anajiita ERICK MNUBI ni tapeli watu wa kutumia post za watu ana danlod picha kweny post za watu alafu anaposti bei ndogo ukimtafuta ukijaribu kumuamin ukamtumia ela umekwisha kuweni makini sana wateja usimuamini Kila Mtu humu ndai Kwa asilimia 100 akikisha unafanya biashara Kwa mtu aliekua muaminifu
TSh11,111