Ni nyumba nzuri sana inapangishwa Safina Mjengoni, nyumba ina sifa zifuatazo Ni selfu ya chumba sebule choo ndan maji yapo Umeme upo usalama upo wa kutosha kabisa Parking ipo kubwa sana, mazingira mazuri sana MITA 500 toka lami ya kwa mromboo mjini Kodi yake kwa mwezi ni 90000/= Kodi ilipwe kuanzia miezi 3 nakuendelea According to dalal +255753147673
TSh90,000