MASHAMBA MAWILI TOFAUTI YANAUZWA YOTE YANA UMEME WA REA,NA UDONGO WAKE KAMA UNAVYOUWONA NI MZURI NA UKIPANDA CHOCHOTE KILE KINAKUBALI,WALE WATAALAMU WA KILIMO WANAJUA Mashamba yapo mzenga zegero mkoa wa pwani wilaya ya kisarawe Ukubwa wa mashamba lipo la heka tano na heka mbili na nusu La heka mbili na nusu linauzwa TSH 2,000,000/= Umeme upo La heka tano linauzwa TSH 4,600,000/= Unaruhusiwa kulipia Kwa instolement/awamu 0688 074858 0768 710000 ipo whtasup
FREE