Ni nyumba nzuri sana inapangishwa sekei idara ya maji, nyumba ina sifa zifuatazo Ni room moja kubwa yenye choo na jiko ndani Wapangaji wachache sana, parking ipo kubwa Mita 500 toka lami, many road Arusha to Moshi Mazingira mazuri sana wahi, maji umeme upo Kodi yake kwa mwezi ni 120000/= Kodi ilipwe kuanzia miezi 3 nakuendelea According to dalal +255753147673
TSh120,000