Ni nyumba nzuri sana inapangishwa mianzin maeneo ya mwisho wa lami, nyumba ina sifa zifuatazo Ni selfu ya chumba sebule choo ndan, maji yapo Nyumba ipo ndani ya geti dogo, umeme upo pia Usalama upo wa kutosha, mazingira mazuri sana Wapangaji 4 ndani ya geti, wahi Kodi yake kwa mwezi ni 100000/= Kodi ilipwe kuanzia miezi 3 nakuendelea According to dalal +255753147673
TSh100,000