Habari ndugu zangu ?tujaribuni Kuwa makini na awa Marafiki zetu wasasa,huyu jamaa picha anaitwa said nyavu Jina lingine james adinani alikuwa mkadhi wa mabibo/naccos asaiv Kwa mujibu wake anaishi Tabata kaowa juzi juzi ni mtu mwenye familia.. Huyo jamaa nimekuwa nae Mwanangu sana ata kumpost sijataka lakini nimejishusha sana mtu aelewi na kitu See more
TSh100,000