LIWAHI SHAMBA HEKA 10 LINAUZWA, HEKA 4 ZIMESAFISHWA NA HEKA 6 HAZIJASAFISHWA, Shamba lipo mzenga zegero wilaya ya kisarawe mkoa wa pwani Shamba hili linakubali zao lolote lile Umbali kutoka center zegero ni MITA500 tu yaani nusu kilomita Shamba lote linauzwaTSH 3,600,000/= Shamba hili kufuga Linafaa sana na kulima Ukitaka kuja See more
$3,600,000