Hii nyumba kalli sana Tena sana Mdau wangu nyumba ime Kamilika yote ime jengwa vzuri sana ni nyumba ya kisasa kabisa Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master bedroom ina sitting room na daining room na jiko pamoja na maji na umeme eneo square meter 400 Ina full document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa Nyumba ipo mbagala chamanz magengen mitar chacha tu kutoka bara bara kuu ya lami Ina uzwa bei nzuri sana yani bei ya kutupa sana tsh mil 59 TU Wai chap chap mdau wangu nyumba nzuri sana bei raisi sana nicheki 0623053771 0688858854
TSh59