Ni nyumba nzuri sana inapangishwa maeneo ya tripo A kwa juu kidogo, nyumba ina sifa zifuatazo Ni room moja kubwa yenye choo na jiko ndani Mazingira mazuri parking ipo nyumba ni mpya kabisa Umeme upo maji yapo usalama upo wa kutosha Mita 600 toka lami, Namanga to Arusha Kodi yake kwa mwezi ni 100000/= Kodi ilipwe kuanzia miezi 3 nakuendelea According to dalal +255753147673
TSh100,000