Sijajua kama ni tapeli alikuwa anauza cm ya wizi kwa hyo akawa anaoff labda me ni askali nimvute nimkamate au lah tumepatana fresh Samsung s10plus kanikosha pkpk mbagala to gomz kila kituo nachofika nampa taarifa mwisho wa picha cm zangu apokei text ajibu now ndo nageuka home zaid ya masaa mawil nmekaa kumsubr jmn tuwen makini sana na hz cm za kwny magroup japo na mm ni muuza cm but baadh ya wauzaji kuweni makini nao
FREE