Ni simu aina ya Samsung A02 ipo sokoni yenye uwezo wa 64Gb storage na ram 3Gb...ina Battery Capacity ya 5000 mAh na inatunza charge sana..Simu ni laini mbili..internet speed inasoma 4G pia ina camera safi..pia unapata USB Charge Ni mali halali yakwangu na usalama wake ni 100%..Ina kipengele kimoja tuu ambacho ni Cracks kwenye screen touch tu hazina madhara kwenye matumizi lakin kuna Screen Protector kwa juu..Bei yake ni Tsh. 210000/= Mawasiliano 0688184973.. Nina uhitaji wa hela
TSh210,000