Ram12 gb128 betr 4000mah inakaa sana na charge, camera saaaaafiii, Cm ina creki kidogo mbele na nyuma kwenye mfuniko kama inavoonekana kwenye picha.. Nipe offer yako.. cm haisumbui kitu chochote kile,, fingerprint ipo kwenye kioo na inafanya kazi vzuri sana n one tarch... Njoo inbox tuongee bihashara kwa mteja serious ili nikupe namba.. xchange with top up allowed
$300