Nyumba ya kisasa inauzwa milioni 85 maongezi yapo Nyumba ipo (BUNJU SHULE) Nyumba inavyumba vitatu master bedroom sitting room dining room kitchen store toilet pablic ukubwa wa eneo ni SQMT 500 document sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali ya mtaa) Nyumba ipo ndani ya fansi Maji dawasco 24 hrs barabara safi inayopitika vyema na magari ya aina zote Please call 0622327095 au 0653 286871
TSh85