Karibu ofisini uhudumiwe na fundi iPhone makini mwenye leseni ya Ufundi kutoka TCRA. Tunatengeneza simu aina za iphone. ufundi wetu unajumuisha mambo yafuatayo: 1. Kubadili Kioo kilichopasuka/kinachosumbua 2. Battery mbovu/battery isiokaa na chaji 4. Kubadili Camera mbovu 5. Kubadilisha system charge 6. Kubadili housing nk Ofisi ipo Kinondoni Studio 0716981993.
FREE