Wakuu naombeni msaada, huyu jamaa grayson william yupo mwanza, gari yake iyo iluopo dar es salaam iliopo chini ya dada yake kaniuzia na nimelipa hela kwa benki. Lakini hataki kunipa kadi, alisema atatuma mwishowa siku ananiambia ACHANA NA MIMI, jamani msaada nifanyeje
FREE