SHAMBA HEKA 10 LINAUZWA LIPO JUU MZENGA ZEGERO WILAYA YA KISARAWE MKOA WA PWANI Shamba hili udongo wake ni mzuri Unalima chochote kile kama Mihogo, mananasi, mahindi, mtama, Alizeti, Ufuta, Mbaazi, Choroko, Matunda,Mitiki Ulaya,Mikaratusi n.k Shamba hili Kwa lote TSH 3,000,000/= Kwa heka Moja Moja TSH 360,000/= Unaweza kuniuliza0735 712324
TSh3,000,000