Shamba linalofaa kwa kilimo Cha parachichi au miti ya mbao linauzwa Lipo Kijiji Cha nyave Ktk tarafa ya lupembe halmashauri ya wilaya ya njombe mkoani njombe Lina ukubwa wa eka 3000 Bei ya kila eka ni tsh 150000 Mto wenye maji yasiyokauka mwaka mzima upo karibu Pia barabara inafika mpaka shambani Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0711605570
TSh150,000