NYUMBA INAUZWA KIBAHA KWA MFIPA/HOUSE FOR SALE IS AT KIBAHA KWA MFIPA. ________ Nyumba ipo kibaha kwa mfipa. Ina vyumba vitatu kimoja self viwili single,sitting room,dinning,stoo,choo cha public na jiko.Ndani imefungwa jipsum board, imefanyiwa skimming na kupakwa rangi..ina umeme na iko karibu na Barabara, nauli 1000 boda mpk hpo toka kituo cha daladala kwa mfipa. ________ Eneo linaukubwa 40x20 Mita, Bei #35M top top Hati malidhiano ktk S/mtaa ________ #0714335450 #0714335450 #0714335450 _____________________________________
TSh35,000,000