Nasema na mwanamke mwenzang aliye tayari kujikomboa kiuchumi na kuwa na kipato chake mwnyw....tunavyokaribia kumaliza mwaka 2023....mwanamke mwenzangu Usiendelee kukaa nyumbani na kuendelea kua tegemezi.....biashara ziko nyingi tena hazihitaji mitaji mikubwa,unaweza kuanza na kidogo ulichonacho
TSh3,000