Nyumba inapangishwa Kodi laki 2 kwa mwezi Kuanzia miezi 3 Ina vyumba viwili vya kulala kimoja master. Sebule kubwa,jiko, na chuo Cha ndani Ipo ndani ya fensi Bomba ya Maji kwenye vyoo vyoye viwili, Jikoni na nje pia kuna Bomba Ina tiles kote na gypum Ipo maili 1 kutoka mbezi daladala nauli ni 600Tsh Kutoka moro road ni dk 5, ipo pembeni ya barabara ya mtaaa Call/sms 0674298767
TSh200,000