Samsung galaxy s10 plus imenyoooka sana... ina ram12 storage 1tb... Ina ukubwa wa betry 4100 mah... sm inyooka sana haina mkwaruzo wala crek imenyooka sana.. (ina kadoa apo nlipozungushia) Sm iko bomba sanaaaaaaa... inbox me tufanye bihashara
$380