Wakuu nahisi wazima wengine ndio tuna Anza kujitafuta, anaye uza PS4 used ambayo ipo kwenye Hali nzuri japo najua bei zake zime changamka anicheki.. maana bajeti yangu ni 330k kwa PS4 Moja mbili natoa 650k na tv Moja bajeti 200k inch 32 uwe dsm . Nicheki inbox.
TSh300,000