Habari Za uzima ndugu zangu .Napenda kutoa taarifa ya kupotelewa Na ndugu yetu mwenye iyo picha apo anaefahamika Kwa Jina la Alex Daniel tokea tarehe 15 /12/2023 akiwa maeneo ya kimara ambapo ndo huwa anafanyia shughul zake Za bodaboda yenye no DEH MC364..Kwa atakaefanikiwa kumuona atoe taarifa kituo cha police kilichopo karibu yake au apige simu More
FREE