Hakuna kuchelewa sasa kuandaa maakuli,...ni ndani ya dakika 10 tuu...kila kitu kinakuwa mezani, unaweza pika ugali, nyama, samaki, maharage, makande na hata lishe ya watoto, n.k.....kwa dakika chache tuu,.....sufuria zake ni kubwa na haziunguzi chakula, hazitumii umeme mwingi....
TSh125,000