samsung galaxy A32 clean sana.. ina gb 128 ram6, simu haina tatzo lolote lile, ina camera n hatar.. FINGERPRINT KWENYE KIOO. Battery 5000mah ko uhakka wa sku upo. sm haina michubuko wala mikwaruzo... xchange na hela nafanya. mteja serious nichek inbox.. bei 250 maongez kidgo
$250