INGCO mashines for sale zimetumika tuu mara moja zingine hazijatumika kabisa brand new mashine zilizopo ni Drill mashine Rotary Sander Jigsaw mashine Angle grinder See more
Offer offer offer Zimerudi tena android TV ya gari pendezesha gari yako kwa muonekano mpya na wa kisasa zaidi pia ni burudani kubwa sana na kwa msimu wa ofa hii tunauza kwa bei nafuu sana zipo inch 9 na inch 10 bei ya; Inch 9 ni: 175,000 Inch 10 ni: 185,000 tuu karibuni wote tunapatikana Arusha Shams piga 0714 247 365
Offer offer offer Zimerudi tena android TV ya gari pendezesha gari yako kwa muonekano mpya na wa kisasa zaidi pia ni burudani kubwa sana na kwa msimu wa ofa hii tunauza kwa bei nafuu sana zipo inch 9 na inch 10 bei ya; Inch 9 ni: 185,000 Inch 10 ni: 195,000 tuu karibuni wote tunapatikana Arusha Shams piga 0714 247 365
Rhino ni battery moja ambaye inaaminika Tanzania nzima ni battery peke yenye warranty ya mwaka moja mzima [1 year] bei zetu ni nzuri na yenye unafuu sana na pia bila kusahau ukinunua battery kwetu unapata terminals za battery bure na pia delivery kwa wakazi wa Arusha ni bure kabisa na unafungiwa bure popote pale ulipo [free delivery and free battery terminals] Piga.0714 247 365 Tunapatikana Arusha Shams piga cm moja tuu
Tunazo rim aina yote size zote zenye design tofauti tofauti karibuni wote mjipatie rim zinazoendana na fashion ya Leo bei zetu ni simple sana na pia tunazo spacers aina zote zote za gari ya aina yoyote zinapatikana kwetu karibuni wote kwa huduma yetu bei yetu hauwezi pata sehemu yoyote Tunapatikana.Arusha Shams Piga.0714 247 365
Midomo ya exhaust zipo zakutosha ni universal za magari ya aina zote na hizi midomo zipo mara mbili kuna ya round na ya square pendezesha gari yako kwa style mpya na kwa bei ambaye hautapata mahali yoyote ni elfu 13,000 tuu tunauza jumla na reja reja pia na bila kusahau delivery kwa Arusha mjini tuu ni bure kabisa Zinapatikana Arusha Shams Piga.0714 247 365
Mashine ya kusafishia nozel na kupima haijatumika sana kwa wanaoielewa huu ni mtaji mkubwa kabisa wa kuanzia nao bei ni Milloni 2,100,000 na kama unataka kuielewa zaidi Piga.0714 247 365 inapatikana Arusha karibuni wote
LED super spot light hizi taa zipo mara mbili moja ni kwa ajili ya nyumbani ambaye inamwanga mkali nyeupe amabaye unaweza tumia kwenye garden, yard, parking, office, na vinginevyo na kuna disco light ambaye inawaka rangi tofauti tofauti kwa ajili ya disco, bar, club, nyumbani, na vinginevyo bei ya ofa hii ni elfu 37,000 tuu tunauza jumla na reja reja pia karibuni wote hio bei hautapata sehemu yoyote na pia bila kusahau delivery ni bure popote ndani ya Arusha mjini Piga.0714 247 365 Tunapatikana.Arusha Shams