Eneo la uwekezaji dodoma
Price: TSh2
Eneo la ukubwa wa SQ mita 10400,linauzwa lipo Mbwanga Dodoma mjini, lina kisima kirefu cha maji mita 180,miti ya matunda ya miembe, parachichi, minazi, Migomba na aina nyingine ya miti mbalimbali inayo fikia 300,mabanda ya kufugia kuku takriban 6000,mfumo wa umwagiliaji wa matone, nyumba moja iliyokamilika, nyumba za wafanyakazi, banda la kufugia ng'onbe na fensi nusu ya eneo lote,Eneo limepimwa na lina offer ya Halmashauri ya jiji la Dodoma, kwa anahitaji au kuna mtu anainterest tafadhali wasiliana kwa namba 0716367833
Private Seller: Dodoma B.