Vitu vya umeme
Price: FREE
Aya nmerudi tena na vitu vyenye ubora kwa wale niliofanya nao biashara wanaelewa njoo nikuuzie feni bora kabisa ambazo hazina siku nying mkononi kwa shilingi 35,000=/,feni ya juu au panga boyi kwa shilingi 37,000=/,pasi kwa shilingi 20,000=/,majagi ya kuchemshia maji kwa shilingi 15,000=/.....LOCATION GEREZANI YA KARIAKOO NUMBER 0744551524.ZINGATIA PIGA SIMU USITUME MESEJI KAMA UNAITAJI BIDHAA NIKISHAPOSTI UWA NASUBIRI SIMU TU.
Private Seller: Frederick M.