Nauza mashuka ya mtumba grade one Size kuanzia 5 6 hadi 6 6 yenye foronya mbili
Price: TSh13,000
Nauza mashuka ya mtumba grade one Size kuanzia 5/6,hadi 6/6 yenye foronya mbili bei 13000, foronya 4 bei 15000 na pazia nzuri Sana Bei 15000 zipo mbili Nipo Mabibo Mwisho Dar Piga 0743710440 au Nichek wasap 0676805403
Private Seller: Mashuka Y.