Muccy D. Listings

  • product image

    Toleo jipya kabisa galaxy A14 kwa mkopo ya 64GB na RAM 4GB pia

    Price: TSh110,000

    Haya watu wangu wa samsung zamu yenu sasa Tunatoa mkopo wa samsung A14 toleo jipya kabisaa hili, simu imeanza kuuzwa na samsung wenyewe tarehe 27_03_2023 yaani siku 10 zilizopita, kwetu utaipata kwa kianzoo cha laki moja na kumi tuuu, malipo yake ni elfu 14 na mia mbili kwa wiki, n utalipa kwa mwaka mzima, karibuni sana wateja wangu 0688831465

    Private SellerPrivate Seller: Muccy D.

    110 110 |
    View Listing →