Inapangishwa laki 120000 chumba kimoja master na seble piga 0655376871
Price: TSh120,000
Piga sm 0655376871 namba iko whatsapp Nyumba inapangishwa mbezi luis mshikamano 120000 ina chumba master na seble unajitegemea umeme na maji kodi kwanzia miezi 3 kwenda kuona elfu 15000 ukilipia unalipa dalali mwezi mmoja Tusisumbuane
Private Seller: Muki T.