Mashine ya kutolea risiti za EFD
Price: TSh200,000
Ni mfumo wa kidigitali uliounganishwa moja kwa moja na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kumuwezesha mfanyabiashara au kampuni kutoa risiti za kielektroniki (EFD) kwa kutumia simu janja au komputa popote pale alipo.
Private Seller: Simu T.