Shamba la eka 100 linauzwa shamba hili lipo hapa mbwewe bagamoyo mkoa pwani
Price: TSh20
Shamba la eka 100 linauzwa shamba hili lipo hapa Kijiji Cha kwangandu kata ya mbwewe halimashali ya chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa pwani kila eka moja inauzwa laki 2 shamba lipo kilometa 5 kutoka barabara yalami shamba hili linauzwa lote milioni 20 Nishamba zuli sana kwakilimo chochote ulicho kusudia mahindi mihogo ufuta Kwamailiano zaidi piga 0656878067
Private Seller: WAUZAJI W.