Shamba linalofaa kwa kilimo cha parachichi miti ya mbao n k linauzwa
Price: TZS500,000
Shamba linalofaa kwa kilimo cha matunda aina ya parachichi, miti ya mbao, mahindi, n,k linauzwa Lipo kijiji cha iyembela ktk kata ya matembwe na Tarafa ya lupembe mkoani njombe Lina ukubwa wa eka 10 Bei ya kila eka ni tsh 500000 Lote linalimika kwa trekta Lipo karibu na maji ya mto Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0711605570
Private Seller: Tello T.