Habari wadau shamba pori linauzwa zipo heka mia mbili na 30 shamba hilo bado halijasafishwaa likisafishwa linafaa kwa kilimo ufugaji na mazao yanayolimwa hapo ni korosho karanga mihogo viazi vitamu alizeti ufuta maharage kunde choroko njugu ulezi mtama lakini kwa ufugaji nyuki pia eneo linafaa kila heka moja ni elfu 50 tu kwa mawasiliano zaidi piga simu 0657774314
TSh50,000