Israwipo P. Listings

  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Habari wadau shamba linauzwa lipo mkoa wa singida halimashauri ya itigi kijiji agondi shamba hili linauzwa zipo ekari 80 kila ekari moja elf 80 halijasafishwa shamba hili lipo kilometa 15 kutoka manyoni mjini mpaka shamba lilipo shamba hili Lina fikika linaanzia kwenye barabara ya mtama kilometa 2 kutoka barabara kubwa ya tabora Ile ya lami shamba linafaa Kwa ufugaji na kilimo na makazi pia linafaa Kwa mwenye kuhitaji shamba hili Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0789399170

    Private SellerPrivate Seller: Israwipo P.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Habari wadau shamba linauzwa ekari 140 katika ekari 140 ekari 70 zimesafishwa kabisa japo visiki havijatolewa shamba hili linauzwa milioni 11 heka zote 140 safi 70 na chafu 70 shamba lipo mkoa wa singinda wilayani itigi kijiji sanjalanda lipo kilometa 7 kutoka senta hapo sanjalanda shamba halina kipengele chochote linafaa kwa kufuga na kilimo kw wenyewe kulihitaji karibu sana kwa mawasiliano 0761558984

    Private SellerPrivate Seller: Israwipo P.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • SELLER LISTING

    Price: Contact Seller

    Habari wadau shamba linauzwa mkoa wa morogoro shamba lipo mikese check line shamba lipo kilometa 3 kutoka barabara kuu ya kwenda dar kutoka morogoro shamba linafaa kwa kilimo na ufugaji shamba linauzwa milion 15 heka kumi kila ekari moja milion moja na nusu linafikika wakati wote kwa mawisiliano zaid piga 0761558984.

    Private SellerPrivate Seller: Israwipo P.

    Tanzania Tanzania |
    View Listing →
  • product image

    Gari

    Price: $4

    Nauza gari yangu Toyota Opa Tsh Mil 4 tu. Haina tatizo. 0713828879

    Private SellerPrivate Seller: Israwipo P.

    Dar es Salaam Dar es Salaam |
    View Listing →
  • product image

    Kiwanja kinauzwa kipo mizani dakawa bei milioni mbili

    Price: $2,000,000

    Habari wadau kiwanja kinauzwa kipo mizani dakawa mita mia tu kutoka usawa wa barabara kuu ya Morogoro kwenda Dodoma kiwanja linapakana na mizani ya dakawa Tofauti toka barabara ya lami mpaka kiwanja kilipo ni mita mia tu kiwanja kina ukubwa wa mita 40 kwa 40 kiwanja hakina shida yoyote ile kwa mwenye kuhitaji karibu sana kwa mawasiliano zaidi piga simu 0657774314 kiwanja kipo Mkoani Morogoro

    Private SellerPrivate Seller: Israwipo P.

    671 671 |
    View Listing →
  • product image

    Kila heka ni elfu 50

    Price: TSh50,000

    Habari wadau shamba pori linauzwa zipo heka mia mbili na 30 shamba hilo bado halijasafishwaa likisafishwa linafaa kwa kilimo ufugaji na mazao yanayolimwa hapo ni korosho karanga mihogo viazi vitamu alizeti ufuta maharage kunde choroko njugu ulezi mtama lakini kwa ufugaji nyuki pia eneo linafaa kila heka moja ni elfu 50 tu kwa mawasiliano zaidi piga simu 0657774314

    Private SellerPrivate Seller: Israwipo P.

    Manyoni Manyoni |
    View Listing →
  • product image

    Milioni saba

    Price: TSh7,000,000

    Habari wadau gari hiyo inauzwa ipo Manyoni mjini inataka milioni saba haina shida yoyote ni hiyo tairi tu inapancha ila ipo sawa kabisa kwa mawasiliano zaidi piga simu tuongee 0657774314

    Private SellerPrivate Seller: Israwipo P.

    Manyoni Manyoni |
    View Listing →