Habari wadau shamba linauzwa lipo mkoa wa singida halimashauri ya itigi kijiji agondi shamba hili linauzwa zipo ekari 80 kila ekari moja elf 80 halijasafishwa shamba hili lipo kilometa 15 kutoka manyoni mjini mpaka shamba lilipo shamba hili Lina fikika linaanzia kwenye barabara ya mtama kilometa 2 kutoka barabara kubwa ya tabora Ile ya lami shamba linafaa Kwa ufugaji na kilimo na makazi pia linafaa Kwa mwenye kuhitaji shamba hili Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0789399170

seller's name'
Name: Israwipo
seller phone number
Location: Tanzania
uploaded on
Date: 11 June, 2026

Contact Seller

seller phone number Phone Number: 0789399170
Loading recommendations...