Habari wadau kiwanja kinauzwa kipo mizani dakawa mita mia tu kutoka usawa wa barabara kuu ya Morogoro kwenda Dodoma kiwanja linapakana na mizani ya dakawa Tofauti toka barabara ya lami mpaka kiwanja kilipo ni mita mia tu kiwanja kina ukubwa wa mita 40 kwa 40 kiwanja hakina shida yoyote ile kwa mwenye kuhitaji karibu sana kwa mawasiliano zaidi piga simu 0657774314 kiwanja kipo Mkoani Morogoro
$2,000,000