Usikurupuke, soma maelezo vizuri ukivutiwa njoo tufanye biashara.. Cpu ya Kulia juu nauza kama spea mana inawaka na inabip alam ya ram, ukiweka ram haidispley, nauza kama spea, jumba la kulia chini lina power supply, na yaliobaki Ni majumba matupu ya cpu(desktop) hayana kitu.. Nauza zote njoo na ofa yako
FREE