Price: TSh35,000
Zipo mbili, zote nauza 65,000
Private Seller: Alvin M.
Price: TSh80,000
Pentium 4 Cpu 3.2ghz 2gb ddr2 ram Hard disk 80gb
Private Seller: Alvin M.
Price: $50,000
Cpu ina kipengele kidogo sana, inawaka ila haidispley, kuna ic ni ya kubadilisha. Naiuza kama ilivo.. Ni core 2 @3.00ghz, ram 1gb hdd 80gb, ukiipenda njoo tumalize biashara... Nb kioo nineshauza, imebak cpu tu pekeake
Private Seller: Alvin M.
Price: FREE
Usikurupuke, soma maelezo vizuri ukivutiwa njoo tufanye biashara.. Cpu ya Kulia juu nauza kama spea mana inawaka na inabip alam ya ram, ukiweka ram haidispley, nauza kama spea, jumba la kulia chini lina power supply, na yaliobaki Ni majumba matupu ya cpu(desktop) hayana kitu.. Nauza zote njoo na ofa yako
Private Seller: Alvin M.
Price: TSh50,000
Monito ina kimstar kwa mbali sana
Private Seller: Alvin M.
Price: TSh95,000
Mpya kabisa
Private Seller: Alvin M.
Price: TSh230,000
Kioo dell nch 17(kina mstar kwa mbali sana) Cpu core i3 ram 4gb hdd 250gb
Private Seller: Alvin M.
Price: TSh40,000
Koocu hot air gun,. 40,000 Kwa wale mafundi wiring kupinda Bomba zao au watu wa mizigo wanatumia kufungia mabox kwa kubana na manaylon
Private Seller: Alvin M.